NTSA BIKE SQUAD

Coming soon to a road near you…
[ATTACH=full]110596[/ATTACH] [ATTACH=full]110597[/ATTACH] [ATTACH=full]110598[/ATTACH] [ATTACH=full]110599[/ATTACH]
@introvert hizi Nduthi zina CC gapi?
i wanna know ili nijue if i can outrun them in the truck

hizi ni za messengers. sio za kushika watu

ES, sahau. Ni sampuli ya huyu. BMW.
Hata Subaru haitoroki…
Kunja mkia.
[ATTACH=full]110600[/ATTACH]

eti F800, kuna ingine kubwa zaidi ya hio?

800cc?

Hii ilikuwa ya kununua makati… Cc @Deorro. Ile ya NTSA sijui size yake. It could be smaller. But it’s built for speed. Ile kubwa ya BMW nimeendesha ni 1200.

are this NTSA guys on the motor bikes cops? do they have the power to arrest errant motorists? keep it locked here as i forsee ndrama and more ndrama.

Me, I foresee fatality.
Hiyo bike ni beast. Mtu akiwa na kiburi itamuua.

Not sure. The smallest BMW I have seen is a 650.

Yani itakuwa random checks hata Hakuna kujua spikes ziko wapi, hii pombe haina raha sasa.

Are boda boda guys stopped by NTSA? Asking for a friend’s cousin.

CHALLENGE ACCEPTED

Hehehe.
Hata hiyo 70s relic iko hapo nyuma itakuharisha my fren.

To ensure that NTSA fellows don’t abuse their new assets they should implement a video recording system mounted on the bike or as body cam.Hoping the video can be used in a court of law.This way the NTSA guys will have evidence of the crime you have committed e.g overlapping ,over speeding etc.

Mashine tamu sana hii. Inafanana na R1200GS… @introvert bei ya used inanusa mangapi? Asking for a mrinnionea friend

Ooooh… Okay… Sawa

Used, about mia tisa.
Hii ni smart sana and very agile. Plus all the bells and whistles as the 1200.
Uzuri pia ni chain driven so you can thrash it… Oh and heated grips for this July.
With my 65 kgs the 1200GS ilinisumbua kwa jam.

[ATTACH=full]110621[/ATTACH]

Crayon thug @introvert Kama hii ni mbesha ngapi?

Hii ni Suzuki gani my fren?
Na ile kandarasi ya frontier imeiva.

Tuseme ina uzito? Nimependa hio nduthi. Maintenance cost iko aje?