Karibuni huku, chai tayari
Asante,nimekuja na vitafunio kabisaa[ATTACH=full]177021[/ATTACH][ATTACH=full]177022[/ATTACH]
[ATTACH=full]177023[/ATTACH]
Hivyo vitumbua…
Ntolilo = numbisa???
nkupikie au
Natamani hiyo mihogo na samaki
Mambo ya kwetu Kwamtogole
VITUMBUA
Ntakupendaje ukinipia swirr!
kumbe bado hunipendi mpk vitumbua
Hapo kuna swali, nikimaanisha kwa jinsi nnavyokupenda sijui nitaongeza kiasi gani tena cha upendo kwani hata sasa nimekupa pendo lote jmn
Ndio mkuu
:p:p
aaah poa poa
cocochanell yumu humu aise nimemmiss sana hasa mithali zake kule kwenye malikes
Kitumbua kizuri
tuwe tunashtuana aseee, sijaona ubuyu wa zari halafu ha ha ha