Nyama ya punda yazidi kupanda bei watumiaji walalama

Shirika moja la kutetea wanyama hapa Kenya limesema bei ya Punda imepanda maradufu nchini hapa kutokana na kuongezeka kwa mahitaji ya nyama ya mnyama huyo nchini China taifa ambalo hununua kwa wingi bidhaa ya mnyama huyo.
Kwa mujibu wa shirika hilo, sababu ya bei ya Punda kupanda kwa karibu 200% ni kutokana na ongezeka la biashara ya bidhaa za mnyama huyo huko Uchina ambako nyama ya punda ni kitoweo kilicho na walaji wengi.
Mataifa kadhaa ya Afrika yamepiga marufuku uuzaji wa nyama na bidhaa nyinginezo za punda, nchini China kwa sababu mnyama huyo ambae hutumiwa zaidi kwa ajili ya kusaidia kubeba mizigo mashambani, sasa idadi yao inapungua kwa kasi mno.
Baadhi ya Mataifa ya Afrika yaliyopiga marufuku uchinjaji na uuzaji wa nyama ya Punda ni pamoja na Uganda, Tanzania, Botswana, Niger, Burkina Faso, Mali, na Senegal.

Hi umeffi peleka huko-----------------------------------------> ulikotoka

fuck u

Wow you learned a new word good for you dumbass

bcoz of ur stupidity