kule gachie kuna boy alikuwa anaitwa karis nick name Nyofo, alikuwa agemate ya sparta
sasa nyofo alikuwa na wazazi thitima sana,akifanya kitu mbaya alikuwa anapewa kichapo kwanza na mama yake…
kuna siku tulienda HOTANI kuogelea,na wazazi walijuwa so sparta akachapwa ile ya juu juu lakini nyofo alipewa kichapo hadi akashindwa kutembea,
sasa sijui nyofo alitoa wapi idea ya kukula red rat,na kumbuka tuko primo class seven apo, nyofo alilamba iyo dawa aka-anza kutoa povu kwa mdomo,majirani wakabuy maziwa trying to safe the boy life, mama nyofo was called na alikuja akipiga nduru akilia, nyofo was taken to kihara medical center na ile karatasi ya redrat
doc akasema boy is fine akapewa tu madawa na kesho yake aka ambiwa aende check up
came to know later nyofo red rat ilikuwa empty alilamba tu ENO no wonder povu kutoka…
mama nyofo took care of his son for 2 weeks ni mafruits na maziwa, nyofo alikuwa anatushow vile anatreatiwa nikama Queen wa England.
sasa tabia za nyofo after recovery they didnt change ni zile zile ukora mingi wakiwa na akina sparta,
beating kutoka kwa mama yake haikuisha, nyofo kwanza akikasirika alikuwa ana-ambiya mama yake naenda kunywa sumu, anashikwa na kufungiwa room
hii tabia iliendelea for long hadi mama yake akazoea, alikuwa anamchapa akisema enda ukunywe sumu sasa
sasa vitisho za sumu didnt work at all, nyofo had no plan B, juu ata iyo sumu mara ya kwanza was a hoax
sasa holiday ya iyo mwaka dec,nyofo sijui walifanyana nini na mama yake, nyofo akaona akimbiye kwa shimo ya maji akaingiza miguu zote mbili akitishia watu leo anajitupa ndani,
kila mtu alijuwa nyofo ni muoga hawezi jaribu ni vitisho kama zile za sumu
watu wakikaribia nyofo anazidi kuingia ndani,mama yake alikuja na kiboko
Omothee nikumenya (leo utajionea)
nyofo saw his mother coming akajaribu kutoka akateleza hadi ndani over 70FT down
everybody thought kipii imekufaa
rescue team was organised zile vilio zilikuwa iyo boma, vipii zote za mtaa kulia na wamama
jamaa moja was lowered hadi chini with ropes, kumbuka ocha hakuna ambulance
kipii ilikuwa imekunywa maji, ikafungwa na ropes juu ya ile drum ya maji ikavutwa
miraculously nyofo siku yake haikuwa imefika, boy broke both his legs na mkono na few broken ribs
ikapelekwa kihara medical, then off to kenyatta hosi
nyofo became a Legend iyo mtaa yetu after iyo incident
mama yake kutoka iyo siku akawacha vita
nyofo ata saa hii ngoma ya RED RAT hatakangi kuskia
kumbe 9 Lives sio ya paka pekee