Nyuzi nilizozimiss jf

  1. Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?
  2. Madingi wakaorofi
  3. Vituko vya facebook.
    4…

Uzi wa kupeana likes orijino

Nimeshakukamatisha like ya ugenini, itatosha kupunguzia machungu

Kuna ule wa weekend wa Mzigua…

Uzi wa kutupia picha ya chakula kitamu…

vituko nyumba za kupanga

Ule wa MASTER OF THE GAME. Unao husu kuuza magari

Uzi zote zilizoanzishwa na vijana wa lumumba

Mkuu, unautani na green mamba, alotutoa belenge kwenye msitu wake?

Uzi wa kuuziana Tv, wazee wa kuweka mzigo aka kubet na nyingine nyingi tu

hii ya vituko vya facebook nilipishana nayo…naipata wapi tena

Uzi nilioumiss ni ule wa “Kwanini wanaume wakimaliza kufanya mapenzi wanakimbilia kunywa maji?”
Huu uzi mpaka leo sijui niliwazaga nini

ulikumbuka tu jinsi mr alivokuwa akimbilia maji…great moments zimekukumbusha ukawaza ukaitupia thread

Uzi wa D.B Cooper na ule wa RockeFeller

Uzi wa kutupia Demu yoyote mkali.

Nimeosha macho sana mule.

Battle Dar vs Nairobi

siku ya kwanza kugegeda ilikuweje!

mapishi magumu kupika geto!

uzi wa yule tapeli aliyesepa na mijihela

Mie nalia na JUKWAA LILEEEEEEEEEEEEEE la WATU WAZITO: