Sisi hatutambui kibanda manenoz…tunaenda 5 star hotels for lunch
[ATTACH=full]220215[/ATTACH]
Mzito ndio anapokea lunch yake
[ATTACH=full]220216[/ATTACH]
Sisi hatutambui kibanda manenoz…tunaenda 5 star hotels for lunch
[ATTACH=full]220215[/ATTACH]
Mzito ndio anapokea lunch yake
[ATTACH=full]220216[/ATTACH]
Looks like a fancy kibanda
Bro, kuna kitu inaitwa irony
Hehehe… izi ni zile stalls zinakuanga kwa soko za uko tunaona vegetables kwa picha za kwanza.
ii haina tafouti na base ya mtura pale muthurwa.
ghasia
Panyaste kuwa unatumia relatives wako huko busia na bomet kakitu ,hapana kula salary ya embassy peke yako.
:D:D:D…sina ubaya! Niaje leo hauja ingia shift apo kwa nursing home…
I do not know much but at least I know 5 star hotels do not advertise their offers…
Anamaanisha 5€ euro hotels:D
Tumeona hukubleach sana midget
Patikanaaaa
[ATTACH=full]220222[/ATTACH]
Kwani mnakulia kitchen :D:D
Yaani hii umeffi yote inakuwanga ya ku-conclude wewe ni msee wa tie.
Meffi
Jamaa amebadilisha kazi kutoka kuscractch mashosho .sasa ni chef
Hizi ni cheap take away Turkish food joints zenye zinapatikana everywhere in Germany.Hiyo kitu amenunua inaitwa Donna kebab costs around 2 to 4 Euros max.:D:D:D
Umevaa suti na tie ndani ya hiyo kabuti ?? isokeei…
Wasee wa ocha na kupost picha! Smh
Hehe … Le scampaka hapa hujaambia hii khasia ya Berndora poa