Old Bad Habits

A while back me and my buddy Joe* understood that kupeleka dame club ni ufala juu tulikuwa tunawatoa huko anyway. We had this bad habit ya kuingia club around 12 wakati watu washalewa tunatafuta meza yenye ina wazee. Juu wazee mostly wanabuyianga madame drink but hawadance juu ya uzee na kunona, it was as easy as 123. Before they know it, madame na mafisi wako missing. Sasa nimefikiwa na news Joe* amepass juu ya kumadwa na sugar daddy juu ya ratchet Wa campus. Sad

Mtu random

Sorry for your loss. But isn’t it amazing how life is an echo? It gives you back what you give. A friggin cycle my fren!

Joe.
He lived for puthy.
He died for puthy.
What a way to go.
Adieu.
Joe.

He carried his habit to the grave. It is interesting how people don’t outgrow these silly habits… May he rip. Na wewe, ukiona cha mwenzio chanyolewa…

Rip to him .May he Rest In Pu$$y

Chimba yako

He died a Fisi…

Tia yako maji, na uchunge sana halafu usitupe kichungi.

Pole kwake.

Born by a pu$$y, lived by a pu$$y, died by the pu$$y. Joe* was a diehard pu$$y nucca. Rip hommes.

huyu joe* alikua yuaishi wapi?

Mimi hiyo tabia niliacha since we lost contact wakati aliingia 8-5 job. I guess he never stopped. Unfortunately

…tembo ulitia maji
By Wavinya

please…God forbid…:D:D:D:D:D

read Mollis!!

Kijana pia utauliwa na strangers. Nimekwambia achana na strangers, cut off completely! U next. . .

I discovered that we drop some behaviors as we grow old. Sorry for your loss.

I heard that line of life is an echo from a certain father from Nanyuki, Bible on the ground

So tuseme kesi iko kortini ama case closed?

Deep.

foto of Joe before and after…otherwise it didnt happen. Si hiyo ndio sheria hapa