Huku kijiji yetu ya wangige kuna jamaa alikuwa anaitwa Gitau alikuwa anakula mayai tano kila siku kwa mwaka. Aliendelea Hivyo hadi siku moja akapata heart attack. Sasa watu wote wa kijiji wanaogopa kula mayai mingi.
Lakini mimi nitakula tu. [ATTACH=full]90479[/ATTACH]
Wewe hufanya kazi luminarc?
utaoa lini…
chakula cha bachelor akiamua kupika
Na nyanya kwa mayai is very nauseating
opuss!
hizo ni bedding chini ya meza? sufferation is real i tell you!
Nyanya kwa mayai ni poa kwanza kama umefika home kama umechoka.
Eggs cannot give you a heart attack
All-in one room…
store ya SQ ya mama @mishty …
About eggs giving one a heart attack, it’s a fact that all persons who’ve taken water over the last 100 years have died…so be very careful.
@mukuna is way ahead of the pack in water avoidance.
The lighting indicates that the room is super small.Using incandescent bulb ya Philips.
Mcoondu
Mjaa laana
why do you waste money on alcohol that you can hardly afford at the expense of living like a decent human being? hizo guiness ulikunywa jana zingenunua nyama quarter ngapi?
mayai na ugali ni meal poa sana; imeninonesha hadi watu wanashangaa nalia shida lakini mwili inakaa fiti
hehehe hiyo food ilininonesha enzi za ktalk hadi nikatafuta mawaidha ya kutoa mafuta. shiet
fisixd
nakwambia nimejaribu situps zimekataa kitambi inakuja tuu. ulifanya nini mafuta ikaisha?