Orange internet DOWn

Kutoka jana usiku national blackout on orange network… No internet… Kwani hao ma network technicians kazi ni kukula mandazi na ku down flask… How can a national network have 12hours of down time…

Ni wewe tu.
[ATTACH=full]103093[/ATTACH]

Wewe lazima uwe network admin hukoz… No internet connextion mtaani na town hadi saa hii…

Yangu ili feli saa tano na nusu. Ndio hata sikuweka maua asubuhi.

hio ni are gani sijapata shida ya network

Kwani wewe unatumia Orange gani? Yangu iko shonjo.

Man wamefanya nmeshinda ku reset rooter
Imerudi saa sita

Nyeri

labda ni nyeri pekee…

Juzi na jana usiku ilipotea. Funny thing is that it was working on one line.

Hapa Nyeri it is still off. Wameniambia they are switching over to 4G and they are doing it in phases hence some areas are still out while service has resumed in others. They are really limiting my capacity.

Switching to 4G? It’s about time! How come Safcom 4G switch was smooth as butter?

Cheki spelling yours must be oranje

Hiyo swali utauliza orange sasa hata mimi ni frustrated customer kama wewe. There are times I think orange still has remnants of the old Kenya Posts and Telecommunications ambao walifikiria kuekea customer laini ya simu ni privilege.

Back in the day my dad tried getting a connection till he gave up, mobile telephones were God sent.

It is like they have never been able to break the bureaucratic culture of the old kptc.

He was told to bribe some “people” 20k in 1997. I remember guys who had fixed lines in their houses used to get very high bills due to fraud where someone would use your line illegally to operate a bureau.

Overall the speeds have improved. Downloads ziko sawa

[ATTACH=full]103153[/ATTACH]

Where are you located and how much do you pay for that?

Uko wapi juu huku bado wako out?