Niaje mazee?
Mmeshapata manzi ngapi za pale koinange?
Na githeri iko moto?
Manzi ya Naii iko na kiburi sana mazee ndo mana inapinganga mume zao
Kwani iko shida hapa? Mazee stima imekatika
dah hivi lugha gani inaongewa hapa
dah hivi lugha gani inaongewa hapa
Sijapata manzee juu manze wa kenya wana kaa na avatar kama akothee
Hii kenyatalk inaaza kunikaa kwa mukichwa
Kiswahili chonganishi
Kuelewa kiswahili ya kenya lazima uwe na safari saba kichwani
Hayo maneno yana maana gani?
Karibu ugenini new villager.ndio ujifunze lugha za huku ugenini
Asante, lakini pia niambie maana ya hayo maneno ili nipate kujua
Duuh,kupatwa kwa jf
Mimi mazeee manzi ya Nakuru inakosakosa kwa mtego wangu, ngoja niongeze juhudi inase
Githeri nadhani inaweza kuwa makande sio makende.
Ok kumbe ni makande!!!
Yaani hawa jamaa wanaharibu kiswahili aisee
Teh! Inabidi tuwazoee hivyohivyo.
hapa mtaelewana wa watu wa ARUSHA TU