pale mwanamke anapotaka kujifananisha na mwanaume......inakera kwa kweli

[ATTACH=full]177450[/ATTACH]

Sawa

Hatupaswi kuiga kila tunacholetewa toka ughaibuni

Why trying to go against nature??? The world is gone mad

Hivi mnaanzaje kukivaa na unakiwekaje?

Mbona mambo mengine ni mateso tu

Jirani vp? umekipenda?

Hahahaha soon tutaviona hivo vikojoleo bongo

Hata sijakielewa jirani

Kariakoo vipi??,vinapatikana?

Ili iweje?

Hahah!!

Unakinatisha kwenye Papuchi ili ili wakati wa kukojoa hakuna kuchuchumaa

Kwa mbaali naona pochi za wanawake zinazidi kujaa makorokoro.

Gaiiii kikojoleo juu ya kikojoleo

muulize huyu Raynavero

dah upumbavu huu, juzi manzi kanidindia kitu nikamwambia we are over, huwezi pingana na nature.

Hivi vinafaa bongo…maana vyoo vya watu wengi vinatutesa wadada kwa UTI na fangasi

Haya mambo mengine bhana

Mt. Congo

Zitatusaidia sana safarini kuchimba dawa na kwenye public toilets