Partner neeeded

I have this old www2 veteran who fought in Burma and brought an antique ironing box that is in very high demand in Dubai because it has uranium inside and is nuclear powered I already have a mwarabu buyer willing to part with 80M problem is the said old man wants 3M I have 2M anyone with 1M to inbox. we shall share the profit fifty fifty. NB. Uranium is illegal so keep the whole thing a secret.

he he he

[MEDIA=giphy]PIIMXAjqlO9zy[/MEDIA]

Haifiki.

Una ngapi?

I am also a stranded heir of a Nigerian prince…

While at it mwambie pia unataka rare German stove akutafutie hawezi kosa.:D:D:D:D

nuclear powered iron box,so tuseme iko na mini nuclear reactor huko ndani na iko powered ifanye nini?wacha mchezo nani

Wash wash detected!

na beacons

Where do you think one would get charcoal or electricity in the battle field? you just need to shake the box inakua moto.

Why not talk to the veteran akuachie alafu utamlipa zaidi ukishauza if its genuine i.e

:D:D

I currently work in west pokot you know they don’t trust outsiders, nilijatibu akakataa kata kata. Niokolee bro at a kama ni loan chukua tu hiyo pesa tutapata before 15th na kama haumini tutaenda pamoja Dubai tuuze pamoja.

Nani atalipa hiyo nauli ya ndege :D:D?

I will organize everything visa na tickets.

Wacha ni ku-link na Macey Clinton ambaye anafanya na Save The Children huko Kakuma. Tulipoongea asubuhi alikuwa anatoka Lodwar hivi sasa nafikiri anakaribia Kapenguria mahali uko. Anatafuta partner kama wewe (hawa walami wanakuwaga na doh juu ni watoto wa masonko).

If this is true then the guy should be dead from years of radiation poisoning, watoto wake pia should have deformities. And uranium isn’t illegal, we don’t even have authorities who would know how to identify it. If you knew where, you can go to a mine in Tanzania and extract it yourself.

Generali @Motokubwa naona uko area… Ulitoka Siberia ama ulidinda kama miguna…

osiri jinga uko sirius kweli?hapa hakuna maasai noogle hii!