Hii scene iko funny [MEDIA=dailymotion]x2if9gy[/MEDIA]
hawa ni watu wamezoea kina ferrari na porsche dont compare urself with them…mimi nikapata hiyo 407 na replace hii volvo yangu nzee mara hiyo hiyo
lakini ukichunguza unaweza pata niukweli kama alfa romeo mob zinakuwanga useless based on my experience.
hapo ukweli alfa romeo ziuukua supuu lakini nimeskia na watu wengi eti ni gari bure sana ziushinda garage
Nimecheka kama fala. BBC directors blundered big time
Hehehehe. This film was hilarious! And a twinge of nostalgia was felt when the 504 was roaming the Sahara.
hahah useless peugeot
The guys brought out facts in a humorous way. Peugeot died with 504
best episode of the season…that trio is one of a kind
[ATTACH=full]2832[/ATTACH]
In the next 10 yrs, zitakuwa the new classics. V6 and droptop 504’s.
what do you guys think about twinturbo sub legacy? nikujitia kitanzi ama?
WAAH THATS ALOT OF POWER RIGHT THERE INAWEZA KUUA
i’m more worried about the mechanical maintenance of the turbos…abt the power its surprisingly manageable from a test drive I had
they need constant checkups…
sasa kua ready kupeleka gari service regularly
sucking fuel like chyeth
Tyre maintenance and etc
accelerating aint the problem … braking ndio shida… let say uko 160 kph then kitu itokee all of a sudden . . . . .
poa…wacha niondokee staki kipara mapema
:oops: 160? On which roads?:eek:
While maintaining 100kph on Thika rd, I see those Forresters zoom past me regularly kwanza usiku. I assume they’re doing 60 to 80 over what I’m doing.
kenyan roads bro… at night
there are ninjaz with speedos reading up to 260 kwa hii town. hao tunawapisha hakuna moto naenda kuzima