pigsties builders

niko na a few granite tops nauza very cheaply

Already cut ama clean slate?

Picha na bei…

Kila mtu Ktalk ashanjenga

Leta mbisha, measurements na bei, jemedari

sunday

Post a picture and a cost sir.

wewe huwezi uziwa:D

na mjue ni second hand

Jemedari umeniangusha, ungeeka hii post hio sunday…
Kwani unaenda kuibia mjamaa sunday baada ya kumuwekea leo…

wewe hujui nimeumia kwa magoti,nilikuwa nataka muweke pesa tayari

Kwani you were among the scavengers at Taj and T-malls ama umeziangukia wapi?

Leta measurements na bei mfuko ikae tayari… Na pole kwa magoti, lakini inakaa umezoea kuumia…Bora uhai…

mimi ni mtu mamission hivi hivi,lakini si bora uhai?

@Randy nakuona area

How much per running meter?

Uko na ufala nilikua nadai nadai slab kama mbili by sato…

We don’t let emotions get in the way of good business. :smiley:

Mijengo huibwa Sundays kama watchman na store keeper ndio wamebaki kwa site.

Picha na bei Wakameat.