Pipeline estate and Zimmerman estate

If u think u can settle here or raise children here think again. Pipu ni ya wakamba porkos.

Ni hayo tu.

Niko lunch break. Chipo na nyama ndio form ya Leo. Chapati zilikua zimeisha na ugali is too dry / plain.

Line ya huduma number iko fupi lakini sina iyo time ya upuzi. Boss anangoja.

Zimmermann is a slum not an estate.

Ndo maana @Panyaste anachukia watu kama wewe, mwanaume nis sembe unless squadi ya akina semenya na binyavanga, COMPRENDE

Zimmerman ya juu iko sawa

Chipo ni ya beta mele

Ktalk watu ni mdomo tupu.

sijui ata uko ni wapi mimi

nataka ku learn boka kiasi…itakuaje:D:D

What are your other handles hia if I may kindly asketh?

hehehe, vile unacheka, hauko serious,

ni hiyo tu, shoste wa kush

Uwongo.

wewe unajua gani ingine nijue kama niko hacked na shoka ama nina clone

They claim to be doing massage, but if you visist them you will realize they are not massage polours but sex brothels

Madam there are no massage parlours in pipeline. Hiyo base haiwezi. Ni mastreet types.

We have more than 5 massage polours in pipeline I know them

How did you come to know them and what were you looking for?

pipeline ni kwa vijana bado wana hustle no families there as far as I know. kama unataka familia tafuta pesa uhame na uache kutupigia mdomo

This is a very stupid question, am a Kenyan hence entitled to visit any place that I feel like at any given time

Streets gani? Ni murram everywhere