sasa juu wameban hizi paper madem kukinyesha watavaaa nini kwa kichwa … helmet ama
Toyota vitz :D:D:p
Matawi za ndumaa ama ndizi
Helmet za mjengo ama za nduthi kwa wale wako na swag.
Bobby mapesa alisema
“hapana itisha mimi thao ya saloon, shika mbao unyoe kichwa safi kama baloon”
2 Likes
Nganzeti
Nganzeti??
Ukamba inanimalisa
1 Like
Kwani umbrella ni plastic