Probox

A friend of mine just moved to Nairobi, he has a new toyota Probox which he thinks its too much moving around with it.

How can he engage it to earn some extra coins?

Taxi

A mobile grocery shop,ama akue aki-deliver lunches & salads to office blocks i.e along ngong road around bus za horizon na places around karen. Alafu ka-lunch kasimple ka balanced died anawafanyia na punch and they’ll buy

mwambie alete huku embu tubebee muguka

How will supervise the work Kuka?

kama unakuanga hizo areas sisi ndio hukuja na xcalibur

Asijali, tutamtumia doo na mpesa

1 Like

Problem box.
Most people who use taxis don’t like being ferried around in the damned thing.
And forget it you are thinking of car hire business, no one will be interested in it.

akiingia hiyo box ya kurusha probox embu na yeye anatoka western na anaishi NRB atumiwe na mpesa he deserves to loose the car

I agree taxi biz won’t pick with a probox but it does very well in Eastleigh.

hio mambo ya grocery apana mbaya…4:00am Marikiti. 5:00am parking 3:00pm park karibu na stage mtaani na ufungue duka…

Its called a problem box

[ATTACH=full]25026[/ATTACH]

Hii biashara iko na watu wengi

3 Likes

Inategemea na mtaa unauza.

1 Like

Kuna problem box nyingi sana zinafanya kama psv in south nyanza, south rift hata huko kajiado. Asifix akili yake tu hapa Nairobi aangalie mashinani zaidi.

1 Like

tafuta contract ya kuescort pesa ya bank, cops like it coz its spacious for their firearms

hire it out to muguka peddlers and give them a fixd monthly rate

:D:D:D:D bora unapata pesa

you need to find a new friend!!!