Psst! wewe mchawi, wacha za ovyo

kurukaruka kwa kijiji usiku ukiwa ndethe uchi wa mnyama na fudhi ni afro kama ya makmende. wacha wasee wakujue bandika jina hapa

Hehehehe…day 2!

Hahaha I expected to find an empty kijiji. Thought admin is doing ukarabati

Me too…bway @Unicorn why you up at this time? Are you lactating?

Hahaha bwana ameingia tu saa hii ndio nam warmia ndengu.

1 Like

Na chapo? Ama zilikua kwa hotpot?..au ni wali! Chapo ndengu is my fav food!

Na chapo na wali. Karibu tule.

1 Like

this is the time kukalia hio chapo saa ile kimewasha hakishikanishi any halafu ukipee dhhkm…brrr

1 Like

You gave me my first laughter today:D:D:D:D:D

Ahsante ssana! Nilikiwa nimejitibu machipo na ma samosa so niko sawa!

Chapo za leo niko sure sio za kwanza! Lazma zilianza na perfect shape zikaanza ku loose shape(shepu as TZ call it) withvtym!

So @Unicorn Leo hujaitishwa morning glory?

Koolibah what’s your fantasy with the male mchawis genitals

machipo na masamosa si food. jifunze kula kama mwanaume la sivyo utashindwa na kazi baadaye…

4 Likes

Thank you! Sisi tunaumia sana…

@Unicorn ni bibi swafi naona

Alikuwa amelewa sana hangeweza kazi

1 Like

Naskia wachawi western huenda wakitupa mchanga ndani ya hao na kusugua matako kwa mlango ya watu. Sasa mmoja aliwekewa mtego, wembe ziliwekwa kwa mlango. Alikuja raundi zake za kawaida za kutupa mchanga na kusugua rasa kwa mlango ikapatana na hizo wembe. Sema nduru. Kumbe pia wanaume wamengoja ndani na fimbo

Mundu mulosi kuja hapa.

Mzee wa kijiji sichezangi na food! Hiyo ya jana wacha tu niseme nililala njaa, i ate lunch at around 4 kiugali, so at around 9 nikafanya touch up!