ukiwa barabarani ni raha ukisoma hizi punchline
nigani ushaona ikakufanya ucheke
[ATTACH=full]252077[/ATTACH]
Jana usiku gari mbili zimechomeka A109
zilichomekea maungu au kyumbi?
“Barabara sio ya mama yako”
Wewe MMNN haina hii 411
zenye niliona ni before emali na after sultan hamud
Keep distance naeza jisaidia wakati wowote
Kwa exhauster
Zile huwa kwa Ma-exhauster hunibamba sana…those writings are always funny and crude.
[ATTACH=full]252138[/ATTACH]
[ATTACH=full]252184[/ATTACH]
Hapo Nyeri. Niliiona leo hapo baden powel
Usikae Nyeri sana ama utakuwa.muoga kama jamaa za huko