Purple ameland Muchatha

Pole dear, pambana na hali ya ocha, no uber, shitty indernet, phone wacharge hapo mungetho, (ongezeni hizo zingine)
[ATTACH=full]214353[/ATTACH]

Kwani kwao ni Ithanga?

Lipa sisi Christmas bonus Kwanza.

Hahaha Hawa ndo watu wa ocha @Panyaste aliongelea jana

Maji ni kwa mto, Tv ni black and white operated by car battery, mattress ni gunia imejazwa sisal strings, duka ziko 2km away, no vehicles in the village and main road is 3km away.

[ATTACH=full]214356[/ATTACH]

I hope amerudi na life jacket ya kuvaa siku anafanyiwa bash juu supu hapo itatayarishwa na water boozer

choo niya chimo, kkkkkkkk. ma junior wanalia

ONE OF THE maanzoni 7

Na watoto wanaogopa kutumia hiyo choo ati wataanguka ndani.

Unataka kusema wewe pit latrine huziogopi? I use them only when it’s absolutely necessary. Naziogopa sana. 80 kilos on that rusted mabati and mbao nzee that they use to construct that creaking floor is not something to trust hivi hivi. Don’t forget pit latrine are not certified safe for use by any government body so mambo ya weight consideration and durability of the materials used is out of the question

Naye summer bunny @kiLo- naye ameland pale jkia
[ATTACH=full]214363[/ATTACH]

Na makeup mob

Kujeni muone kababaa

:D:D:D

Hawa vijana walifanyiwa village Harambee waende U.S hujiona walifika, sadness of life.

@kiLo- umetusiwo. :D:D

Buda Nairobi hakuna pit latrines. And those things collapse all the time that they don’t even bother reporting about it

As usual you have no clue what you’re talking about. How do you do investigative work? Ama wewe ni wale wa kusumbua matatu drivers?

Who said all of them have been made by rusty ironsheet and mbao?

he he …haka ka-joke kamechoka sasa si muunde kengine…