Raila hafanyi poa

Si poa kufanyia msito pugilists cartel hivi back to settings , natural fauna .

:D:D:D:D

Ukikosana na baba mateso yanakuandama

[ATTACH=full]254773[/ATTACH]

Baba ameingilia wapi ikiwa watu wanaenda Bustani kutoa fujo?

Umeanza kuwa fair and balanced siku hizo. In 2017 this would have been fodder to anti-babuons. No?

Siwes shika hikyo kiplacard. Fuaking. Waambie Rotich na wengine washike ntatii pia.

ule bwana yako @Motokubwa pia afanyi poa. Sasa ii ni nini? Ni mtu hana akili ama?
[ATTACH=full]254777[/ATTACH]

Naona my former MP Makadara constituency amekwara kubeba hiyo board. Good for him. Hata mimi nilisema nikawahi shikwa for whatever reason sitakubali kuibeba hata wanipiga aje

[ATTACH=full]254778[/ATTACH]

Inaitwa showmanship na promotion it attracts attention @Motokubwa is going places nilidhani anaoperate bushery solo

@uwesmake Baba don’t need them. Siku hizi naskia anakula supper ICHAWERI GATUNDU. ZIle peanuts alikuwa anapewa kama stipends end month don’t need them.
I hear ako na ufunguo za treasury kazi ni kuingia na kujichotea bila wasiwasi.
Lakini huyu Mzee akishiba huwa mjeuri sana. He threw loyalty outside the window. Kitaeleweka.

Pia Mimi siwes beba hii kitu nipigwe picha mukitaka muniuwe

Orengo was there !

Kwani unadhani Sisi peasant tunainuanga tukitaka. Ni ile beating unaonanga mshukiwa mwenzako akilimwa. Inabidii ukunje mkia Hadi Una uliza OCS. Ni inue how high?:D:D:D:D:D

:smiley: itabidi nibebe

Si tafadhali unachapwa ukiambiwa Bill of Right iko Kwa katiba lakini sio kituo cha polisi.:D:D:D:D

50 shades of kiguta

Yani tuseme Jomo Gechaga hulamba na kumwaga hapa

:D:D:D:D:D

Huyu ni DFHKMBLBH .

Too much make up.
Kindly save us with her natural looks.
Thank you.