We love Somali. Sisi Tanzania hatuna ubaguzi kama wakenya. We love Human kind.
Ahadi ya Kwanza Binadamu wote ni sawa na Afrika ni moja.
View attachment 166419
Ahadi ya Kwanza Binadamu wote ni sawa na Afrika ni moja.
View attachment 166419
Kweli wewe ni roboti na hujui unachokifanya!Ndio maana unakosa audience humu!
Ni kama Wakenya waanze kuleta mambo ya KANU kwenye Jamiiforums zenu huko...ni stupidity....It shows how you are getting this wrong,you do not know your audience,unatoa hotairs tu!
Mkuu,toa vitu vya maana wanavyofanya Watanzania,who are really nice and good people,acha ku-propagate CCM political stupidity kwenye nchi they even do not know what it is!
Lete maendeleo ya sayansi,elimu,michezo,viwanda,biashara,etc....achana na upumbavu wa CCM au TANU for that matter!
You dont even know wht you are doing dumbo!