[ATTACH=full]154261[/ATTACH]
hizi masweeps bana!
:D:D:D umenikumbusha janaa nimeambia msee wa mtura after kumeza mitura ’ wacha niende hii nakuom ’ nikazamia kwa bar .
mbwa hii kwani unahepa na shilingi kumi ya mutura.jinga hii
Mbona unaharibu uchumi wa raia hohehahe?
Mungu anakuona!
A photo speaks a thousand words.
[ATTACH=full]154266[/ATTACH]
Yani Ulipark BMW X6 2017 model metallic blue, kando ya jiko ya mtura , then you ordered mtura ya 5 bob . Finally ukajitoa bila kulipa???:eek::eek:
:D:D:D:D:D:D
Kuna mtura nilikula Limuru County Club tamu sana.
Wakanya will never be up, atabaki masiki
Stupidity
:D:D:D:D:D:D wadau nimeomba msamaha but ni kwa local mimi hukula ntamlipa leo wadau , musinifanye vile mulifanya @culture karibu alie
You driving BMW SUV na unahepa na 5 shillings. Wewe ni bukusu ya wapi.adabu huna?
:D:D:Dsasa wewe utaona moto. hii utakuwa unakumbushwa daily. wacha aibu ndogo ndogo.
leta
na ulete effidense umelipa hio 5 bob
Ata mimi nimeshangaa.Alafu anakuja kuturingia hapa.Mimi ata nikinunua kitu,Change ibaki shilingi kumi ama twenty.Naambia mwenye kuniuzia.Keep the change.
He is like.Msaliti chameleon utajua hunijui.Endelea kuropoka tu.
Chunga sana usichonge viazi akihepa after amekununulia guarana na chips.