For the anticlick movement
Ray C is Seriously Looking For a Husband
Posted by Marcelita / Celebs, Entertainment / 0 Comments
0000
If you are single and seriously seeking, this is a must read for you. Rehema Chalamila, popularly known as Ray C is currently looking for a life partner and it might be you. The once famous Tanzanian musician has finally realized that her biological clock is ticking and is now thinking of settling down with her Mr.Right.
The 33-year-old, who is now overweight, posted this on instagram.
“Habari zenu wapendwa wote dunia nzima!Leo na habari nzuri sana kwenu, naomba kuwatangazia kuwa natafuta mchumba wa kuishi nae milele!nataka niwe nae milele na nimzalie watoto wawili wa kike na wakiume!” she posted.
However, nothing comes easily and if you are a young chap out there interested in her, there are certain conditions that you must fulfill to win her.
Here are the conditions that her true love must meet:
Awe mpole ili nikikasirika anibembeleze.
Awe anapenda muvi za kihindi ili nikiwa na stress aniwekee nyimbo za kihindi maana ndio raha ya moyo wangu.
Asiwe muongeaji sana sababu huwa sipendi makelele.
Anipende na ubonge wangu huu asije akaanza kunambia baby anza mazoezi au dah baby zamani ulikuwa bomba au rudisha kiuno hapo hatutaelewana.
Awe ananipikia nikichoka maana navutiwa nikimuona mwanaume anapika.
Awe na mimi muda wote maana na wivu sana ikiwezekana tufanye kazi ofisi moja au awe ofisi ijengwe hapo hapo nyumbani.
Awe mvumilivu maana nikiwa na hasira huwa naongea kwa sauti ya juu sana.
Asiwe na rafiki wengi,na akitaka kuonana nae na mi niwepo maana si mnajua wanaume tena wakikutana huwa wanashaurina mabaya.
Awe anajua nyimbo zangu zote ndio ntaamini kweli ananipenda
Sharti la mwisho kabisa ambalo ni muhimu sana kwangu ni hili tuwe tunatumia simu moja na namba moja maana kanisani tunafundishwa kuwa ndoa maana yake tumeungana na kuwa kitu kimoja kwahiyo kama mume na mke tunalala pamoja kitanda kimoja na kuishi pamoja kwanini tusitumie simu moja! Sioni tatizo!
Good luck!!!
