Recipe for Marital infidelity

[MEDIA=facebook]1598931003741499/posts/2461137557520835[/MEDIA]

Kama ni mimi, harusi ikikwisha naanza kukula Hawa one by one till the last leg is spread below me.

aseee

Kuna mkenya flani aliachwa na bibi akarukia brides maid alafu ingine ikapigwa picha kwa harusi na khupipi kumbe mmoja wa brides maid amemubebea mimba kubwa. Harusi ni expee ka nanzenz ikiwa haya ndo matokeo

meffi threads ndiyo maana inzi @Tom Bayeye hakosi comment

Kuna zile ndume hualika their mpangos to the wedding. I guess form inakuwanga bibi harusi akinyeta kukue na backup.

But ukweli,hio iko na slit kuna vyenye osband ashaikagua ama anapangia,I know i would

Imagine kuenda wedding ya dem ulikuwa unafinya, kakakuhug, ukanyonji mbele ya umati. Makosa.

Unasema nini mbayeye? How do you run your kinyozi if you cannot express yourself properly?

I don’t know but this is not possible. Mimi dame nimefinya hawezi fanya nikanyonji ovyo ovyo lakini mwenye ako pipeline ndio atanichemsha

That’s an SJ veteran ako katika harakati za kutafuta church betamale…

Najua wewe ni wa sub kaunti so ni ngumu mimi kutext vile utaelewa but sikulaumu sana