Reggae club revellers look very SUSPECT & watu mashida..why?

Sadness of life
[ATTACH=full]9051[/ATTACH]
[ATTACH=full]9052[/ATTACH]
[ATTACH=full]9053[/ATTACH]
[ATTACH=full]9054[/ATTACH]
[ATTACH=full]9055[/ATTACH]
See this one
[ATTACH=full]9056[/ATTACH]

weuh si hizo njugu ni mob ka mbisha ya kwanza nikadhani ni githeri, hapa ni wapi kunakaa kila mtu anajuana if you find yourself there drunk ole wako

3 Likes

hahahaha jo…hapo ukiwa mlevi ole kwako especially kama wewe ni dame

Lakini nimewahi date a reggae loving chic from Doni, outward alikua ana project a very tough image but she was one of the most emotional chics ave ever met

3 Likes

Weka picha yako pia wewe watu wakujudge…brare serre,na picha yangu toa hapo faga

uko picha namba gani ndio nitoe

1 Like

Huyo ndiye muuzaji

hapa jo team fisi hawaezi comment

1 Like

Huko ni downtown nini?

The 2nd to last pic…niko na a white tee na waya

This is you? woi …i would nt like 2 meet u magizani…wewe ni horror manze
[ATTACH=full]9059[/ATTACH]

1 Like

Yes be warned

wewe todhi acha kuaharibu jina ya Raggae, jina kubwa hiyo, tembea area za uzito boss ama attend Concerts za Raggae splash(water world) ujue magwiji, but this upuzi ya bagua watu wa Dabb, mi hana kubali, Am For Raggae all the way

kunakaa small world

Picha ni less than 10. Ni picha za watu even less. I presume zimepigwa at the same joint. Then you a’ go make your biased genelisations about reggae fans the world over? It’ a foolish t’ing man.

Jerry city, haha haha. I know the owners daughter kitu iko chonjo kuruka. Btw TiG ni wewe ama Kamau.

Ni JC. naona unajua N hahahahahaaaaaa
atleast Njambi Koikai has tried to nring swag to reggae especially madem

1 Like

Small World Waters

It is normally full of teenagers on Sunday afternoon wakienda jam session.

Heard those kids bring in $$$ on Sunday.