Research project

Hello talkers…am looking for someone who can write a good research proposal at a reasonable price…The research should be about the importation of foreign medical officers,effects ,challenges and gains to the Kenyan health sector or something close to that…if interested please let me know

mbesha shigana?

Quote your price pale inbox nione ka inawesmake

if your supervisor is worth his salt, he will not accept that topic because what data is there for you to research on seeing hao daktari ndio tu wameingia? Ngojea miaka mitano ndio ufanye that research.

Nilidhani ni HR related ningekuchingea utii

hi ni research ya certificate examination ama?
how does cuban doctors coming to kenya qualify as a research problem?
unless you are doing a certificate level pseudo-research huyo mwenye ame kupea hio assignment ata jua tu ume andikiwa hio “proposal”!..and i wonder how you can get a person who can write a research for you on ktalk

jua kuandika replies kwanza

kuna kitu inaitwa ex-ante analysis research. Using ex-ante analysis helps to give an idea of future impacts… Baada ya hiyo 5 years unafanya ex-post analysis…

we ndo ulipata A Kiswahili KCSE??

Badala ya kupambana na shaba na zebaki kwenye sukari unataka leta umbea? Unaweza linganisha daktari wa binadamu toka Cuba na EA hasa Kenya kwa Professors(Grabbers) huko? Na justification itakua kwamba Wacuba ndio wametibu vizuri walioathiriwa na bronze and mercury full stop.