RKO

Nimepewa RKO kwa whatsapp na dem. Sioni nikirecover any time soon unless mnipee recovery options. Damn. Mhenga @syndicate kongrachuleshens

Sasa unajiongelesha kwa maandishi ama unaongea na kijiji. Weka effidence…

12 Likes

screenshot, thermal imagery,heat map, ya RKO

4 Likes

RKO nimepewa deadly

1 Like

Anika uhondo usaidike.

This is what i looked like after the RKO[ATTACH=full]123213[/ATTACH]

1 Like

,associating this thread na @syndicate naona jamaa ameambiwa mtoi siye wake.

2 Likes

Weka hata brickgame

5 Likes

afisa siand olwenda

wapi RKO deadliest umewahi kula

I take all RKOs in stride

Wapi ile kali zaidi

Mimi hapana Dr kitoto,weka hekaya complete kama elder tukupe mawaidha.

1 Like

Mchape RKO pia

Ndo hiyo hapo juu

I thought umezoea RKO’s za village…

Juvenile post from a little attention seeking harlot

6 Likes

I would have given a coakroach’s ass if the comment came from another mf but not you.

Huyu jamaa si amepondwa :D:D:D

unataka tukulambe miguu ndio uweke hizo screenshots?

1 Like

Its soooo bad