Safari langu Nairobi juzi kusherehekea krismasi lilikuwa la taaban nakwambia wakuu wangu villejaz. Huku Nairobi Kuna watu wananuka midomo jamani,nilikua nimekaa siti moja na mkaka hivi yaani mdomo wake unatoa hewa kama chemba za vyoo ,kidogo nimuulize mdau hupigagi mswakii, yaani alikua akipumua mpaka nageuza kichwa upande mwingine. Nakwambia nashukuru nimefika DAR nakokwenda maana hali ilikua mbaya aisee
Jamani tupige mswaki,naskia ni fashoni kukosa kupiga mswaki kenya hasa kwa wanaumme. kama una tatizo kamuone daktari wa meno uchunguze meno kaka.
Kwa hayo machache wacha nikuburudishe na picha la Dar es salaam.
[ATTACH=full]77499[/ATTACH] [ATTACH=full]77500[/ATTACH] [ATTACH=full]77502[/ATTACH] [ATTACH=full]77503[/ATTACH]
1 Like
kev
January 8, 2017, 3:56pm
2
Na hii Dar salama yenu mumesifia sana kaka…next weekendi naenda kumwona dada humo, nimpelekee abdala jicho moja
3 Likes
twakukaribisha lakini mdau usilete kaswende
3 Likes
kev
January 8, 2017, 4:07pm
4
Kaswende ni kisawe chako…nauliza jamani mbona kuipiga marufuku kimagufuli ile twerking huko Dar?
system
January 8, 2017, 4:14pm
5
Bingwa
Safari langu Nairobi juzi kusherehekea krismasi lilikuwa la taaban nakwambia wakuu wangu villejaz. Huku Nairobi Kuna watu wananuka midomo jamani,nilikua nimekaa siti moja na mkaka hivi yaani mdomo wake unatoa hewa kama chemba za vyoo ,kidogo nimuulize mdau hupigagi mswakii, yaani alikua akipumua mpaka nageuza kichwa upande mwingine. Nakwambia nashukuru nimefika DAR nakokwenda maana hali ilikua mbaya aisee
Jamani tupige mswaki,naskia ni fashoni kukosa kupiga mswaki kenya hasa kwa wanaumme. kama una tatizo kamuone daktari wa meno uchunguze meno kaka.
Kwa hayo machache wacha nikuburudishe na picha la Dar es salaam.
[ATTACH=full]77499[/ATTACH] [ATTACH=full]77500[/ATTACH] [ATTACH=full]77502[/ATTACH] [ATTACH=full]77503[/ATTACH]
Bingwa unasumbua sana…unatukera jammani…
2 Likes
Bingwa unasumbua brare meffi
Bingwa punguza ujinga kaka
Mechi ya Tottenham imeisha aje wadau?
Bingwa tena, Huo mkokoi simjui
Chifu
January 8, 2017, 5:25pm
10
Safari langu Nairobi juzi kusherehekea krismasi lilikuwa la taaban nakwambia wakuu wangu villejaz. Huku Nairobi Kuna watu wananuka midomo jamani,nilikua nimekaa siti moja na mkaka hivi yaani mdomo wake unatoa hewa kama chemba za vyoo ,kidogo nimuulize mdau hupigagi mswakii, yaani alikua akipumua mpaka nageuza kichwa upande mwingine. Nakwambia nashukuru nimefika DAR nakokwenda maana hali ilikua mbaya aisee
Jamani tupige mswaki,naskia ni fashoni kukosa kupiga mswaki kenya hasa kwa wanaumme. kama una tatizo kamuone daktari wa meno uchunguze meno kaka.
Kwa hayo machache wacha nikuburudishe na picha la Dar es salaam.
[ATTACH=full]77499[/ATTACH] [ATTACH=full]77500[/ATTACH] [ATTACH=full]77502[/ATTACH] [ATTACH=full]77503[/ATTACH]
Meffi you always make your post look as if it’s a competition between Nairobi and Danganyika. When will you grow from this bullchiet?
1 Like
[ATTACH=full]77519[/ATTACH]
[ATTACH=full]77522[/ATTACH]
[ATTACH=full]77523[/ATTACH]
http://edition.cnn.com/2015/02/10/africa/nairobi-africa-intelligent-city/
4 Likes
Hakuna kitu kama safari langu na picha la Dar, for a Tz you’re very poor in swahili
5 Likes
Si kwa ubaya mdau, tumia twiga huku tz tunao. Ni ule mti wa kusafisha meno vile mababu walivyo Tumia. Mrembo wako husemaje?
Definitely not a Tanzanian. Am a member on Jamii Forums and I know what a Tanzanian write-up looks like.
This guy is not a Tanzanian, not with that Swahili. He is trying too hard! Ati safari langu, chemba za vyoo, hupigagi etc…nice try Binjwa
1 Like
@Mtanzania Magufuli chieth kwani ulipewa Bondi? Utarudishwa rumande hivi karibuni tu…
1 Like
:D:D:D:D:D:D:D safari langu
1 Like
One more from Binjwa Scrotum.