nani bado ako na codes ka mimi
ka hiyo
i mean hiyo
1 Like
mbona unatuuliza na uko nazo?
2 Likes
its always good to knw u have partners in crime
1 Like
Usituringie, pea sisi
hauko pekeyako
unakumbuka ule jamaa aliandika suicide note akaweka online??
2 Likes
Chezea chini mjamaa
[ATTACH=full]13726[/ATTACH]
3 Likes
nmeona tuko kadhaa hehe
fucking thieves
gawa tafadhali…nani mwingine anakimbishwa na hizi calling rates za safcom ndio upate bonus…na bado sihami
mtu mimi anishow vile unaweza weka mara mbili hehehe
iyo yako ni ngori sieeet but siongeangi na watu mimi
haha mara mbili huwezi… labda u interfere na simcard
haha zile days za kutuma code na text nilikua namake 1500 kila siku
haha ngori kwako, siku hizi itabidi ukule kachuma
si unichanue hiyo story bana
hahaha
si uko na samsung?
o_Oo_Ona new villager asi ni inbox