At undisclosed location, @Budspencer wameanza mimi naona nikitupa matembe that empty glass is mine and its tempting me .[ATTACH=full]120756[/ATTACH]
Afande asubuhi uliuizwa mbona unakunywa dawa ya watoto.
Kidogo naona unacheza na building blocks za watoi. Ni nini inaendelea haswa?
amekuwa askari koko
Ahh okay.
Enjoy, and best wishes for the kid.
Chapa tot kadhaa. Minyoo zitaunderstand.
Hahahaha kali
After two weeks of teetotalling nimebackslide na kuingia na kichwa tena. Madawa za @pamba nimemwambia aweke kando
:D:D:D:D:D:D
Shait.
Huyu jamaa ako na mguu mbili za right.
Big toe ndio iko misplaced.
Mwanume ni kuparara hio ingine ni usocialite.
Hapana Chora omera.
hehee straight outa safari boot. :D:D:D
alafu kuna mtu anaonekana kwa reflection ya tv na anakaa kama ameongeza fanta kwa JW yenye iko kwa chupa from red to yello yello
[ATTACH=full]120761[/ATTACH]
:D:D:D wewe ni kama mimi last time mgongo na miguu iliona mafuta ni mamangu akinipaka nikiwa mtoi.
Wakati wa misa ulisoma hiki kifungu…‘and lead us not into temptation’…?
Pia Yakobo 1: 14…Lakini kila mmoja hujaribiwa na tamaa yake mwenyewe huku akivutwa na kudanganywa. (Wacha kumsingizia saitan Afisa @pamba .
Tukicheza ball tukiwa watoi hungekaribia jamaa ana mguu kama hii.Ata uwe na viatu.
@pamba hiyo TV kubwa hivo iko kwa nyumba ya kukomboa? Maisha ni ghalama .Have noticed unapenda pombe saaana. Steer clear when not feeling well.
that is advice from a bad friend. afande pamba maliza dawa pombe hata mwaka ujao bado itakuweko na hutamaliza…