Saudi Arabia

Nani mwingine anaona saudi ikiwin kama mimi?iko na odd ya 10 nataka kuipea 1k ilete 10Gs

punguza tamaa ndugu, wale waarabu hawako vizuri kimpira

itaisha moja moja

pia naona inaweza toka draw but russia kupiga saudi,sioni.

kubahatisha mkuu,mpira haina gwiji

Againist the host country?? What are you smoking?

No host has ever lost their first game in the worldcup

wakati mwengine tunalose kwa kujitakia

wacha kunitishatisha mkuu,already nmeweka 1k,russia itakuwa ya kwanza kudraw ama lose

Hehehe… huoni ikiisha draw?
Na code ya fantasy ipo ama hamna?

daaa hiyo kundi sujui ka likamwacha salama kabisa

ipo kaka click here https://t.co/fkefEjAhna

Hiyo Thao enda ukule nyama utapoteza

kijana sikiza words of the wise, hata wewe mtu hawezi akakupiga kwako na unyamaze tu

Umepata hizo 10Gs:D:D

there is always a next time,endelea kunicheka tuuu

wewe pia wacha ujinga. I clearly told you Saudi could not win against the host. When did you start watching football?

Told you ungekula nyama :D:D:D:D

ukisema nilikuwa nmeweka bana.

izza, next time uliza mapema