(schupid)Peoples Assembly Process suspended

Hii inamaanisha nini? Nimeona ni BREAKING NEWS kwa githeri media.

Watu walicheswo na Baba:):slight_smile:

https://kenyatalk.s3.amazonaws.com/2018/03/225591_ba037f1f3eccfb4d46a2a5c2a401bf5f.pnghttps://kenyatalk.s3.amazonaws.com/2018/03/225591_ba037f1f3eccfb4d46a2a5c2a401bf5f.pnghttps://kenyatalk.s3.amazonaws.com/2018/03/225591_ba037f1f3eccfb4d46a2a5c2a401bf5f.pnghttps://kenyatalk.s3.amazonaws.com/2018/03/225591_ba037f1f3eccfb4d46a2a5c2a401bf5f.pnghttps://kenyatalk.s3.amazonaws.com/2018/03/225591_ba037f1f3eccfb4d46a2a5c2a401bf5f.png Disclaimer: emojis copypasted from Okwonkwo/mayeks/vuja dethe

This is the height of conmanship!

Inamaanisha hii kitu ya RAT na Ouru ni kama bibi na bwana wakigombana. Ukiingililia, wewe ndio utakaa mjinga.

The last bullet they had was shot astray… They now have an empty gun-miguna

Coast secession, where does Joho and Kingi now stand.

Weko kwa mataa, Ngilu read the writing on the wall, and smelled what was cooking.

Hapo sawa mbele pamoja

Hiyo upunda mtu amefanyisha watu, kumbe ilikuwa tu salamu za mthamaki alikuwa anatafuta. Kazi ya politician siwezi fanya.

niliona agustino neto that smart M.P. from ndhiwa siku moja akijaribu kutetea one of baba’s crazy radical party lines on tv, akalemewa akaanza tu kucheka. He couldn’t lie through the teeth like akina junet when defending party lines. kazi ya political attack dog ni ngumu.

Halafu vile watu walifunga barabara migori. kuchapwa teargas from airport. but the funny thing is, for baba they will gladly do it all again.

There’s an economist (not omoNdii) who said that he’s watched babuon for long and his influence on his core constituents that he believes his hold on them transcends politics, it’s something more than that. They hold him in total reverence.

Ni vizuri pia ili watu wajue he is just a man. kuna vile ni kama watu hu-worship huyo jamaa.

follow with caution, usiende kukufa tu bure juu ya mtu kama wewe, na yeye ni kazi anatafuta.

Hii tabia ya watu kuita mtu baba waache. He is not your father or guardian. He is just a politician.

He turned himself into a cult like status. Baba… safi kama pamba… Joshua… Tinga… Nyundo… Jakom…Agwambo…etc.

Yaani, just a handshake?

I honestly hope Uhuruto know what they doing.
:frowning:

I’m telling you