Seeking an attachment

Habari zenu wadau. I’m a 4th yr student in MKU na nimekuwa nikisaka attacho for the last one month and the only thing I’ve got ni tu mafalse hope. Kwingine hata ni watchie anakufukuza. I don’t get why pple wanakataa free work…
If any of you ako na any leads I will really appreciate.

Umejaribu kuapply online??

Alafu unataka field gani??

apana tambua Mchieth graduate pia, ntafukuza kama burukenge ameMeza mayai ya bata:D

Shida ni kusomea MamaKamauUniversity, anyway all the best as you look for an an attachment.

IT

Eeh. Nimetry different organizations

:D:D. Unaongea ni kama wewe uliruka hii stage

Nini watu wa MamaKamau hawawezi fanya watu wa uni hizo zingine wanaweza

Field gani

Apply at the nearest government offices (either national or county) you will learn alot and maybe create networks that would help you in future.

This is the reason, never say IT. What’s IT. Specify the field.

Just have your target places, prepare a letter and you CV, I assume you have these, and go to the companies or organisations na useme unataka kuona HR…don’t let anybody stop you

IT

What the hell is wrong with you?

I’m just looking for an attachment man ndio ni malize shule. If it were a paying job ningekuwa na peana my specialization. Hata most that I’ve been to just ask the course na fanya

I think we can all see why he keeps getting rejected. No idea how to market himself in a field where that’s often more valuable than your technical skills.

Been to different ministries unaambiwa leta documents tutakucontact

Naenda attacho man. Naweza sema nimespecialize in web development but nipewe a completely different work nikiwa huko ndani. As of now niko open to all stuff that falls under the IT department.

Like ukiwa shule, what’s your major. Hakuna mtu anaplaciwa IT. (Software, Networking, BBIT which one)