Me think this guy on Citizen TV claiming that he is a PhD student and has resorted to tea picking due to lack of employment is pulling our legs. Mbicha sina…lakini ilikua kwa news.
Ahaaaa…mbisha iko[ATTACH=full]7691[/ATTACH]
i can only say watu hutoka far…
Kwa hivyo kazi yake ni kushinda class tu. he cant think beyond that. Enyewe Schools zinatoa watu wakiwa wajinga kuliko vyenye waliingiia wakiwa. Kwani kuna watu walizaliwa kazi yao ni kupeana kazi?
picking tea raise fees…course gani?
Hawezi kutafuta kazi hata ya kufunza cole/uni na masters yake part time? Something does not add up, he must be suffering from tunnel vision.
Tea picking is still a job, right?
Right…but the guy was complaining. That’s the issue.
yaani tunakazana kupata chance ya kufanya masters na jamaa anachuna majani chai akifanya phd??? hii life bana
Was about to suggest the same…
These are people who I call “educated fools” he can’t use his PHD knowledge to create a job for himself now that he can’t find employment… punda mlia wacha aendelee kuchuna majani
Hindiot. I know university colleges which are paying guys with masters well to lecture part time
He can even earn 1500-3000 kshs per hour part time given that he is already doing his phd. Huyu jamaa hataki tu kutumia akili yake.
Na msee ako na bachelor anawekwa category gani…
I cant blame the guy, if you succeeded count your lucky stars. One day God atambless
na si mnapeaga Sir God kazi nyingi!
He should be invited here for a thorough questioning.
god is too busy with renovations in MACS0647-JD to deal with PHd imbeciles
I LIKE
Hiyo galaxy ndio heaven yaani?