Mimi niko na sinda, usiku kamjuniour na mama yake wanapigana live live kwa kitanda, huyu mmoja anataka nyonyo na uyu mwingine hataki kumpatia coz ataki zianguke, na kamjamaa kamebakisha 1 year kawachane na hii stori ya nyonyo....sasa mimi nauliza wazee wa kijiji, niingililie ama nitie zii????