Sheeeeeeee

Niaje niaje wadau… ebu mniadvice kiasi apa… hii sii story na sex so bare with me or nyenje with me. Iko ivi nimeingia mustuni kiasi kuji kata weight nikapatana na hii stuff?? Nido? Ama nani anataka ntamletea

Ngombe hii jifunze kupost picha.

Si ungeandika tu kimasai?

Kunyi wewe

niaje @Mosa

Hiyo ndio double cab ya parastatal mulienda nayo TZ?

U

[ATTACH=full]142724[/ATTACH] picha sio clear, hiyo ingine ime kata ku upload but its hazy pia.

wacha kutoa watu rangi…ni ya NGO…[SIZE=1]na ni Sunday tukue wapole[/SIZE]:slight_smile:

Somebody actually employed samosa? Msiseme kenya hakuna kazi

Samahani.

Haaiya!kwani mass ishaisha?ama umekua muregenyuki kaa mimi

9:00 am to 11:00 am

[ATTACH=full]142729[/ATTACH]
@admin please do the same to mosa. :D:D:D anajaza server na umefffi na halipiii

:D:D:D:D:D:D:D

Heehheehheeheh kwani… kujeni niwa employ

Shida ilikua kuna fog… but ata nikipost picha 3D hakuna kufaidika iko apo

Iyo ata sio ya mine… i took that photo to show that i was in the bush doing my shiet