shift plan (continuation)

after 2 days ndo tulikam kujua that Susan alikuwa cousin ya Achieng’ n Rita alikuwa related na director ndo maana walikuwa treated special than others. ubaya ni ati hata wakuwe treated special sisi wote tulikuwa tunapata the same salary. ufala ni ati Ritah alikuanga on phone always na haulizwi hata hakuwa anaulizwa apene daily report we jaribu stunt ka iyo utajua hujui. my mum had ealier told me to ditch the job since it was clear that we were being treated like trash in the Dandora dumpsite but i held on and persevered. the remaining days Achieng’ was so moody mara anakam
“You guys you are not serious aki nitawafuta kazi”. she kept repeating the same thing over and over again. so one day during the day shift some bitch by thenl name Vanessa had a burst up with both Susan and Rita na hao wajinga wawili walienda wakamsema kwa Achieng’ ikabaki ameekwa kwa radar ya watu vichwa ngumu tukakuwa watu watatu: mimi, Vanessa na Mwas (ule msee matei na mafuacka). during night shifts (we used to sort names only since you cant call people deep into the night) kulikuwa na mtiaji mwingine alikuwa akiitwa Adero kumbaffu ya mtu kabisa. he used to call Achieng’ and take roll call when she’s listening nigga was just a sissy just that he was missing boobs, a big ass and a skirt. huyo msee alikuwa akiambianga Achieng’ vile sisi ni majoker na vile sisi huwa tuna imitate Achieng’ design ya
“You guys are not serious aki nitawafuta kazi”. sijui kama kifala kilikuwa kinalipwanga allowances humbwer sana. in between people complained of how the system was full of duplicates and when the duplicates were removed we remained with less than 3k names to sort meaning we were going to be idle some time later. so during the day shift she came in and suggested that we record how many names we have sorted individually since the system had a problem kumbe it was a trick she wanted to see how trustworthy people are. 97% of us lied. at the end i lied that i had sorted 700 names and according to the system I had sorted a paltry 300 names only. some new guy who had joined us a day ago had sorted 1200 names even surpassing the 1000 names target tf making us look like a bunch of mere jokers. and it happened that even those who came for night shift had lied. better me i lied but i had sorted some names. Ritah had sorted 50 names only while Susan had done nothing and they both lied of how they had each sorted 800 names. since they were related to those in power they were left and me being the only one who had lied and was around i was called to some boardroom for some roasting where the HR and head of customer care were waiting for me

Achieng’ started
“ndo huyu ule kijana nilikuwa nakwambia. mimi sipendi kazi yake kabisa. yaani hata haezi aminika nawaambia waandike namba ya majina watasort wananidanganya. kwanza wewe, Vanessa na Mwangi nyinyi ni vichwa ngumu sana. you are always inciting people. na kwanza niliskia mlikuwa mkini imitate wakati wa night shift juzi wacha hii ikuwe last warning kwako.” before i could speak naskia ameongezea “kwanza wewe ndo ulikuwa unawatch porn na unaangalia wanawake wako uchi ukitumia Wifi ya kampuni.”

HR naye ameanza kupayuka ni kama akona nyege kibao
“Wewe kijana usijione we ni mrefu sana ukaona unajua maneno. unajua wewe ni kijana mdogo sana. wewe ulizaliwa juzi na hakuna kitu utatuambia hapa unaskia. sisi hatupendi watu vichwa ngumu. ukileta kichw ngumu huku tutakuonyesha nani kichwa ngumi huku unaskia? sisi hatutaki kujua wewe ni nani. ujuaji wako peleka huko kwenu hatuutaki huku. na kwanza wacha hii ikue last warning next time ni dismissal letter uende nyumbani. na kwanza nyinyi watatu hampati contracts utapigia hao marafiki wako uwaambie hawatapata contract zao.” (input all that in a kikuyu accent)

“wewe si uwaapigie uwambie. siezi waste credit yangu na wewe uko na yako”.

HR
"kijana unaongelesha nani ivyo? unaona sister yako hapa? ebu toka hapa kabla sijakufuta kazi saa hii bure kabisa.

that one left me so angry but i kept it cool. the next day people were given contracts for 3 months that we were supposed to work (Feb-April) manze except sisi watatu ( mimi, Vanessa na Mwas) juu sisi ni vichwa ngumu washenzi hao hawajui wanasema nini they were to give us contracts when we change but i didnt give a fuck as long as i was paid at the end of the month it was okay. so the next shift was night shift and it fell on a friday-sunday na Mwas alikuwa amekam na mngazi ya WHITE HOUSE WHISKY tulikuwa tunaikata tu chini ya wabaz mdogo mdogo tu tukiwa tunadunga job kumbaffu ya mtu ule mtiaji Adero alikuwa area na akatuseti manze ati tulikuwa tumekata zetu zilikuwa zimeshika tulikuwa tunaconfess vile tutapita na huyo Achieng’ vibaya sana. hio ilikuwa allegation ingine ngori sana. ukiangalia Achieng’ alikuwa na ball kedo 3 months ndo maana alikuwa na moods iyo gidhaa yote. so tukaenda rest days zikaisha kukuja job next shift day shift Mwas alikam akiwa high saa hio runx yake inachuna kutoka kwa gate. vile aliingia watiaji Susan na Rita wakamseti kwa Achieng’. Achieng’ naye amekam na hizo mood swings
“Nyinyi watu nilisema aje pombe zenu mnaacha kwa bar. na kwanza kuna watu walichange huku kukakuwa bar night shift last time. endeleeni kucheza na mimi utajua mimi ni nani”.

kidogo kidogo Mwas naye aliamua tu aongee ni kama alikuwa ameboeka sana na Achieng’ nikaskia amesema
“we pia hizo vitisho zako baridi pelekea mbuzi zenu. unashinda unatutishia hapa ooh mtanijua ni kama hatukujui. fanya kitu utafanya hakuna kitu naogopa ama unadhani hii ni kazi pekee ndo iko kenya.”

Achieng’
“kijana”

Mwas
“kijana ni wewe. we kwanza kazae. mood swings peleka kwako. kwanza hii job yenu kaeni nayo.”

ivo ndo Mwas alijitoa na akasonga kabisa. akijitoa alikuwa zile za “hawa watu wanabehave ni kama kampuni ni yao na hao ni waajiriwa tu.” kusema ukweli hao wasee walikuwa wanabehave ni kama kampuni ni yao na walikuwa wanaongea matope tu mob. uzuri tulikuwa tushapewa paycheque ya feb sasa Mwas alienda akiwa na pesa yake kwa account. kufikia March uko mwisho nilidai kuchorea hiyo job so niliandika resignation letter nikaiacha kwa ofisi ya HR juu hakuanga. nilikuwa nimetense kuresign juu ningekosa kulipwa hakuna msee ningeendea kuteta kwake after all hakuna contract ya kuonyesha mi ni employee wa hio kampuni. nikamaliza shift yangu na nikajua nisha resign. after two days nikacheki account yangu imeekwa 18k nikajua sasa mimi na iyo kampunino tushamalizana kumbe HR aliamua akuwe ignorant. akanivutia

“kijana mbona hukijangi kazi?”
“mimi niliresign kitambo”

“uliresign?? mbona sikupata barua yako?”
“niliacha kwa ofisi yako kwa meza yako”

“meza yangu ni mimi? uliacha kwa meza alafu nikikuja ingejileta kwangu?”
“eeh kitu ka iyo, fanya ivi tusisumbuane sitaki kazi yenu ka nayo.”

nilikata simu na nikablack list hao watu wote wa hiyo kampuni nilikuwa nimechoka nao mimi. luckily nilipata job flani ya kupanga na kusort mails kwa NGO flani iko Upper Hill na nilikuwa nikilipwa 2500 per day na job ilikuwa ya 10 days. iyo job ilikuwa nzito but ilikuwa worth it kuliko ya hiyo kampuni ya mombasa road. a week later after nilijitoa madame wanne waliquit after waliend up kukuwa na burst ups na HR na Achieng’

:meffi::meffi::meffi:

part1 iko wapi

Kijana wajua waweza kufutwa kazi?
Wamjua Achieng kweli?

[SIZE=7]BADO HUJATOMBA HIZI VITU MBILI?[/SIZE]

don’t waste your time.

nyinyi wacheni, Niko kwa matatu enroute to Bomet and bored like silly. I need something to engross myself in.I have read all recent creepy pastas

Andika hekaya yako.

:D:D

umeangusha ktalk standards ungepita hata na Huyo Achieng na hizi mood swings zake ukamue dryfry

hekaya poa, si lazima kudoo

adero kumbaff ya mtu :smiley:

Adero kumbaffu ya mtu
:D:D:D

Yenyewe kuna jobs hufikisha msee mwisho yawa! Unaquit unaamua kama utakula mawe sawa!

Was trying to scan for the word Kunguru before I read,

Unaandika continuation ya hekaya hakuna mtu alisoma

we pekee ndo hukusoma… kwani hizo comments ni za nini??
usiwe mjinga msee

Commets zote zinasema hii hekaya ni rubbish

Yaani mnataka kulewa mkiwa job, uone pono ushikwe, upimane umeenda ocha kisha ushikwe, tena upimane kuhusu targets ushikwe, mwingine akuje kama amevuta ndom plus makali lakini hamtaki kuulizwa? Mentality ya ghetto mtu uacha kwa gate ukiingia kwa ofisi, stop playing victim na makosa ni yako. In the words of Duale, hii kazi si ya…? Na ukiendelea ivo utashinda ukiswitch jobs

whatever nigga.
its already past me i quit tje job and got a better one.