Soo leo nimetoka sherehe yangu pale juja after kuinvitiwa pale na kunguru tuwatch inauguration ya msito uhuru story for another day but threshold ilifikishwa bila stress …so after threshold boychild akamua kurudi mancave ya kwake mm pale nikaingia kenye lopha na kuketi kwa dirisha little did i knw i was to be a target to shinny kufika pale githu ili mat ishukishe abiria shida ikanikumba ikabaki nimeshtuka.shinny eye ilipita na simu yangu shiny eye ata tukisherehekea bado mnatutaza c i thot leo ni holiday
sijui hata unapiga makelele kwa nini na wewe mwenyewe umetoka kuiba kifaranga ya wenyewe. A crime that in Saudi Arabia is punishable by beheading. kuna mzee mahali amelisha, akavalisha hio kitu, akalinda hio kifaranga miaka mingi na wewe like a thief in the night umepita nayo bila huruma aki ya nani. nadhani a phone was a small price to pay for such a crime. the white man said if it goes around then it often comes around.