Shitty Phone

Enyewe nliblunder big time, kubuy phone inajiita X-TIGI, ile stigmatization nmeface. Weh! Imebidi tu nmerudi to Cubot, at least its respected.
Lakini X-Tigi ni phone ya ufala. Phone imekuja tu venye iko, akuna feature ingine kali yoyote, OK, like Infinix unapata at iko na camera poa, na tecno pia, then screens ni FHD. X-Tigi imekuja tu hivyo, ata akuna skin waliadd on stock android. Beta wanadai ni 4800 mAh na hailast ata day moja.Screen size ni 6" sasa hapa ndo unapata ile impression ya “mwili kubwa but akili ndogo” alafu kuaribu mambo yote iko na 1 GB RAM!!! Billionaires tulieni, naelewa zenyu ni za 6 GB. Maze enyewe phones zingine ni strictly for peasants.

Alafu phone haiaccess 3G in remote areas, iko za E. Mi huhisi mwili inadungwa na shindano nikiona hapo kwa bars imebadilika ikawa E. Alafu 2017 phone zenye ziko na internal storage za 16GB zinastahili zipelekwe museum. Tusiongee kuhusu processor, mnigga nitahustle hadi nipocket Xiaomi. Mediatek ntaachia kina @Koolibah.

In short, X-Tigi ni company ha kuunda power bank na weapons. Sio smart phones. But nliswear sitawahi nunua kitu pia inajiita Infinix au Tecno
Sandesana

3 Likes

No comment. Weka battery stats tuchambue

Li-Polymer Battery
Voltage : 3.8V
Capacity: 4800mAh (18.24Wh)
Charging Voltage : 4.35V
Standard : GB/T 18287-2013

[ATTACH=full]90098[/ATTACH]

16 Likes

hapa ndio wahenga imbo punit walisema ‘unaruka mkojo unakanyanga mavi’

4 Likes

Mulika mwizi akina 3310,motorola c113,alcaten zitarudi lini ? Atleast hazina hizi tabia mbaya ya kuanika notification hapo juu na fone iko locked

Hizo si battery stats. Enda settings leta kitu kama hii

[ATTACH=full]90099[/ATTACH]

Next fungua screen option na utake screenshot pia

Sema tu haifungui xvideos.

5 Likes

Kunakuanga na option ya kudisable

1 Like

xiaomi will serve you well. I highly recommend the redmi note 3 pro. best bang for your buck.

1 Like

Hujawahi ona hii setting?
[ATTACH=full]90100[/ATTACH] [ATTACH=full]90101[/ATTACH]

Peasant unataka tukuhurumie…apana tambua peasant. Hiyo simu tecno, cubot na infinix ni pasi. Kama hakuna makaa pia unaweza tumia kutengeneza popcorn ama kupika njugu karanga…

8 Likes

Mimi hizo phone zote umetaja ata sijawahi ona. Tecno tu nishawahi na najua inaexpire after 1 year.

2 Likes

:D:D:D:D:D:D:D:D:D

Ain’t in the mood

1 Like

kama simu si sony wacha ikae

1 Like

:D:D swipu

unataka mod fulani akule wapi?

1 Like

[ATTACH=full]90104[/ATTACH]

How am I doing?