Si Hiyo Thread Ya J Imepotea Upesi

Keep up the good work mod. ameng’oa

hiyo ilikua thread ama utoto? hata kama ni bigotry, surely!

What was it about?

Tupashwe ilikuwa nini

forget it…no need to spoil your evening…

Mwanmme akisema hivyo unaachia hapo. It must’ve been bad. I won’t pry.

Kumbe @Jirani anaeza kuwa na utoi kiasi hiyo…

Coomer! Udaku ukam

Nkt!! Kuna mababa apa wanact kama ule mtoi wa primo alkua anakataa kukupea wembe ama anakataa kukupea page ya katikati SERRE!! C mseme what it was about mnachosha!!

Bingo!Dead and buried. Ndio maana napenda utoi wa watoto but nachukia utoi wa wakubwa.

Pia mimi nataka kujua sana huyu ‘J’ alipost nini, so we’re on the same side Mzee, lakini pia kuna vile inakaa ulikuwa wale watoi kuomba omba kila saa bila adabu. [SIZE=2]Serre.[/SIZE]

Aliweka pic ya mama nangi akaanza zile story zake za kukiss shingo hkm, and it wasn’t funny at all today.

mama nangi

think you meant mama ngina

hahahaaa nice encryption

1 Like

Hehehe…now you see it, now you dont!

Inbox hio maneno