Sijaona sababu za kumchukia rais wangu magufuli

Watanzania tuache ushabiki wakijinga wakenya majirani zetu wanatucheka sana,

Hakuna kama magu ,

Unaweza ukatuambia huku umekujaje? Acha kutujivua ufahamu na kutumia tundu la samadi kufikiria bwana unaitia aibu familia yako

Naomba nikuambie tu kwamba"acha upuuzi"…

Hahaha nimesoma tu hapo kwenye tundu la samadi.

Kama wanakucheka huku umefuata nini?

Mpendwa mleta mada haya sasa ni matumizi mabaya ya akili.

Huyu mpuuzi ni kama mtu aliekuwa anafanya ngono bila ya kutumia Kondomu na kujisifia halafu anasema watu wanamcheka kwa kuwa na UKIMWI.

ni kweli hakuna kama magu, ambaye ametufanya tuwe wakimbizi wa teknolojia ya habari. Imebidi hadi wewe mwenyewe ukimbilie kenya ili kumsifia

Watamkubali tu siku moja,hata familia yako siku ukiwahamishia kwenye nyumba yenu isioisha ili uendelee na ujenzi mkiwa humo hawatakuelewa lengo lako ni nini,ila nyumba ikiisha kila mtu atakusifia kuwa una akili sana…

Ushabiki wa kijinga unaousema ni kama huo wa kwako. Sasa kama unaona hakuna tatizo,huku umefikaje na unatafuta nini?

Hiyo ni kazi ya TCRA sio magu.

Akili anazo basi, sema anatumia vizuri ujinga wake.

Kuku kama hii unatafuta mkia uko wapi unapiga hapohapo kwenye kisusio

Ni haki yako ya kikatiba sikushangai labda una kitu chaziada unachopata kwa Magu.

Pumbavu unatafuta nini huku sasa kaa na mpendwa wako. Uhamishoni unatafuta nini? Si anayoyatenda ni mema, kaa huko.

Jitu la jabu hili, kama ya Jiwe ni mazuri huku JF Kenya anatafuta nini. Si alichokifanya Jiwe ni kizuri sasa huku anatafuta nini

Kuna imezaliwa ili iwe kero kwa wengune tu. Haina faida

magu ni mwiba tembea peku ukuchome,

Ondoa upuuzi wako

mnajinyea nyea tu humu,subilini tu na mtaharisha hadi damu mbuzi za masai nyie