Sijasema ni kutoka wapi but WTF?

https://pbs.twimg.com/media/CEE5ShBVEAIVxWT.png:largeIs this someone who’s serious with his life’s achievements?

Eish! iko shida hapo.

Sioni shida yoyote hapo.

SI AMENUNUA SHAMBA AMEKUJA KUBOMOA HIO KITU AJENGE

3 Likes

hiyo pengine ni store

am looking for a fielder new model manual transmission

It is just a picture, may be he packed there due to lack of a better place. That does not in any way mean that he owns the house. Na hata kama ni yake, utado?

what if he just bought the piece of land

1 Like

hilo ni gari ya mgeni…mwenye nyumba ni fukara hana gari

fukara ni wewe

You can sleep in a car but you cannot driver a house, his priorities are in order

1 Like

Still haven’t seen the most logical explanation why the car is parked there. But as someone pointed out above, the owner of the house doesn’t have to be the owner of the car.

There are no tracks to indicate consistent use of the space as a parking area. Kwani hata wewe uki-park kando ya choo ya kanjo ni kumanisha…

In shags, when there’s a function at one home and parking space is insufficient huwa mnaomba ruhusa kwa jirani.

2 Likes

Or this…
[ATTACH=full]4760[/ATTACH]

Kwa raha zake.

1 Like

Ocha kwa @Luther12 naona ameweka multi-LNB’s… FTA for life :D:D:D

1 Like

So hata huyu alikosa space ya hio dish akaomba kwa jirani

Ndagitari, vau ndunerwa wega vai

@elin,hujui vile huyo mtu anasifiwa kwa hio kijiji.usistuke tukiskia kinyanganyiro cha useneta kati ya @Luther12 na mwenzake @Meria Mata kimepamba moto huko kwale