Mombasa road suspected thug stealing from vehicles during jam
[ATTACH=full]135969[/ATTACH] [ATTACH=full]135970[/ATTACH] [ATTACH=full]135971[/ATTACH] [ATTACH=full]135972[/ATTACH]
mkamba alikua anaiba hizo signpost za steel kwa njia ama ?
:D:D:D:Dwacha ujinga bukusu.fixed
kusanya simu sanasana na vibeti kukiwa na jam.amelizwe.i use mombasa road daily so nikifika pale sameer lazima nifunge dirisha
Andika tu kwa kikamba tutaita @Saprano for translation
hawa niwale usanya simu ukizubaa kwa dirisha…lakini leo amekipataa
:D:Dy now.nimefix already :D.jinga
hehe sawa
sioni kama wananchi wamefikisha threshold ya kumchangamkia hapo wangemuunda tukule nyama na @Touchlyrics leo
rules za kijiji zinasema ukimulikwa unatulia hakuna cha kufix
inaonekana badoo ananashughlikiwa
nitulie na haujafix.nitoanishwe.?naaaaa
@this is hard :eek::eek::eek:
Days of thief is 40 …:eek::eek:
:D:D:D:D Wasee wakiwa jam session ama? :rolleyes:
Osungu ilikataa huyu mkamba
Hii mwili yote ni pesa ya wizi? Wach mchwa wapate kitoweo
:D:D:eek::eek:
Hapa ni pale Mass Communication ama Bellevue?
Kwani alikimbia hadi Ruai sewage…
Kama ni hapo bridge ya south c means wamerudi…they used to steal from naive wahindis in their VXs then wanaingia kwa iyo kamto hapo na kutorokea kwa shanties flying squad had cleared them, including a disabled one sometime back. That bridge is a no-go zone on foot after 9pm.
Huyo jamaa amevaa shati ina rangi kama ya chama kingine hapo cha wezi.