Sirkal iko Mombasa

.
[ATTACH=full]30226[/ATTACH]

Nacheki hii game KBC and it’s very boring

1 Like

Serkaal imepanulia ikawekwa moja na red card juu… Si Mombasa Raha tena

1 Like

Nimewaona town wakiwa na mbendera ya amerka na ya Solomon island na nyingine ya Estonia. Hehehe

1 Like

Estonia sasa? Hawa watu hawapitwi na jambo…

Kwani sportpesa walifix match?

hawa players pia hu bet there is no way of regulating that, sasa akiekelea atapata red card second half ama atafunga own goal hakuna vile watajua lazima wamchunguze kabisa

1 Like

waaah itabidi nisake awa players

Aargh!Kumbe ni hiyo ‘sirkal’!.