Situation za ghetto kukinyesha. I think the government should try to help out kiasi

https://www.youtube.com/watch?v=4VZS4Yaw5h0

You are dreaming. They cant even help themselves.

How come sewage ikiblock pale westi kanjo inachangamkia in minutes

Eeh but ghetto its like the people who live there aren’t citizens of kenya

Noma sana…huku ni gumboot tu inaweza…weka mvua, flying toilet, na mikojo na hutataka kuguzwa na hiyo mix

Kuna place flani pale karibu na Amiran kenya,kuna empty lot wasee hupitia kuna ka shotii. Time ya mvua utapata wanahangaika ilebaiya ju ya matope,mbona tu wasifikirie waweke mawe hapo time ya jua? Oh wait #wajinganyinyi