Somali Investing in Dar es salaam Tanzania

Join us in Tanzania for a 3 part series featuring Somali entrepreneurs changing Africa! We’ll meet two brothers, a chef, wealthy real estate investor & the lady running tourism in Kilimanjaro with 8 hotels she owns! #SomaliPositivity In this episode, meet two successful brothers who rebuilt their lives in Tanzania after the Somali civil war!

https://www.youtube.com/watch?v=1Yj7ZxPrneQ

http://www.citymall.co.tz/

Al shabaab here we come.

Hahahahaha!!! Somalis ndiyo wahindi wa Africa. Wapo kila corner duniani.

Na Somalis ndio Am shabaab hapa East Africa.Hahaha…

Tatizo lenu nyie wakenya mmejaa chuki. Ukabila wenu ni vyema ukaishia kwenye nchi zenu. Don’t paint negatives to other nations.
Acheni kuwa puppets wa USA. Mnaeneda chuki kwa watu. Chuki zenu bakini nazo nchini kwenu. Nyie ni vibaraka wa wazungu.

Na tanzania ni vibaraka wa somalia??:eek::eek:

Tanzania inafanya kazi kwa manufaa ya waafrika. Siyo nyie kenya mnafanya kazi kuwanufaisha wazungu.
Kenyan ni Puppet wa wazungu.

Money Laundering kaka. Hata sisi hatuwataki kununua hizi buildings za CBD. Wacha wafanye leasing.They will lease on a building and do extra ordinary interior deco

Hahahahaha!!! Utakoma waache wafanye business TZ. Inakuuma sana. We are building our nation. Huko kenya mbona ndiyo nchi inayoongoza kwa corruption.

Maneno ya kenya yakusumbua sana kaka…dah!! Si ufurahi TZ ni first world country hakuna corruption na uwachane nasi?

Hahaha!! Ninawapatia Education maana nyie ni washamba kimtindo.

All the best

endelea kutoa dose mkuu watakuelewa tu

wamejifungia na kuanza kujiita Superior kila kukicha wakati nchi za kiafrika zinawatenga. Kenya will remain alone hakuna nchi mtakayo shirikiana nayo kwa sababu ni wanafiki na neo colonialists puppet.

Most Tanzanians living and working in Tanzania are lazy,and that is a fact!

sisi ndio waarabu wa afrika …tunatamba na nina furaha sana kujua Tanzania ni nchi iliokomaa …Wallahi, si lazima uende mbali …ukisimama pale Magomeni Mapipa kando ya barabara utazame jinsi magari yanapeana nafasi na heshima ya madereva utajua tu hii inchi ni extraordinary

  1. Baada ya EAC community kuvunjika mlichukua ndege zote zilizokuwa kwenye EA air Line
  2. Kenya supported RENAMO in Mozambique and apartheid south africa
    http://allafrica.com/stories/201310301416.html
  3. Sasa hivi mnaeneza chuki Afrika kuwachukia wasomali
  4. Charles Njonjo mwafrika toka kenya aliyekuwa akidharau waafrika na kutukuza wazungu. Mpaka sasa hiyo tabia ipo kwa wakenya.

Kuna mambo mengi tu ukiendelea kuuliza nitaendelea kuyafumua. Wakenya mnatakiwa mbadilike. Tanzania ipo na majirani wengi kuliko nyie lakini hatuna mambo ya ugomvi wa kijinga hivyo.

Kulikuwa na conflict kati yetu na Malawi lakini tumeimaliza kwa sasa malawi na Tanzania tunashirikiana.

Check hapa:

[ATTACH=full]166392[/ATTACH]

http://www.mwananchi.co.tz/habari/habari-ya-ndani/Wakazi-wa-Kyela-washangilia-meli-kushushwa-Ziwa-Nyasa/1724700-3849114-rqhrtbz/index.html

I can say this is your song every now and then.
Nani lazy kati ya kenya na Tanzania, tunawapatia chakula kila siku.

  1. Hunger in Kenya
  2. [ATTACH=full]166393[/ATTACH]

[ATTACH=full]166394[/ATTACH]

mwanzo huyu anayekuuliza ni patron wa chuki kwenye hii site …bali na wasomali …huyu dada asonawajibu marekani anasupporti Kiambu kuwaondoa wasowenyeji …huyu hapa kidudu

Rafiki kuna mambo mengi sana. Siasa kati ya Tanzania na Kenya huzijui kwa undani zaidi.

  1. Tanzania ilijishughulisha sana katika kulikomboa bara la Africa. Na kwasababu Uingereza iliwekeza kiasi kikubwa kwenye elimu Kenya baadaye tuliwaamini wakenya kuwa kwa sababu wenzetu wamesoma tunaweza kuwapa baadhi ya mashirika wayaongoze kama ndugu zetu. Lakini badala yake wakayaua huku wakijilimbikizia mali kwenu. Je, kama ingekuwa wewe utaendelea kumwamini mtu wa namna hiyo?

  2. Precision Air. wakenya walipatiwa Hisa katika shirika la ndege hilo ambalo linafanya kazi nchini Tanzania na lilianzishwa na watanzania. Lakini Wakenya wameliua

  3. Kenya ilianzisha Movement ya CoW ili kuitenga Tanzania. Hawakujua kuwa Museven amefundishwa Tanzania (Alifundishwa na Nyerere na ni moja wa wanajeshi waliotumwa kwenda kuikomboa Mozambique). Paul Kagame alifundishwa na Jeshi la Tanzania kuwa Spy kisha walisihirikiana na Mseven huko Uganda. Vilevile hamkujua kuwa Joseph Kabila alikulia Tanzania na kusoma Tanzania Primary na Secondary Kisha kujiunga na Jeshi la Tanzania.

Serikali ya Kenya hawajielewi. Yale mliyokuwa mnajadiliana na Uganda and Rwanda during CoW tulikuwa tunayapata kama yalivyo.

Hamjabadilika bado. Eti mnataka kupata chakula toka Zambia!!? Hivi hamjui kuwa National Anthems za Tanzania, Zambia and South Africa zinafanana? Huwezi kuanza kuongea na nchi za SADC bila kuihusisha Tanzania.

  1. Juzi juzi Rais wa Kenya anenda Mozambique kwenda kutafuta kufanya biashara na Mozambique. Hivi hajui kuwa Tanzania ndiyo ilisaidia Mozambique kupata uhuru?. Kenyans you have to use your common senses. Tanzania ilishaweka diplomatic bases almost kila sehemu hapa Africa.

Even nikiwaeleza kuhusu Ethiopia mtashangaa.

Ninawapa hayo machache. You need to change muache unafiki wa kijinga.