wanakijiji ma fala wameweka kambi…mjamaa wa speed leo nime ona ame kalia nyasi…hayuko ndani ya pro boxx
1 Like
Ngoja akae tu hapo apatwe na python.
3 Likes
Hii 50kph kuwa na allowance ya 20kph ni kweli?
Lol…you heard of the guy who was swallowed by a python? Walikua wanaskia walkie talkie kwa tumbo… ‘Roger…do you hear me…Roger. .’