PICHA YA CHINI: [COLOR=rgb(184, 49, 47)]MS OFFICER (AFISA [COLOR=rgb(184, 49, 47)]MPIMA [COLOR=rgb(184, 49, 47)]SAMAKI) AKITEKELEZA MAJUKUMU YAKE KWA USTADI WA HALI YA JUU[ATTACH=full]177995[/ATTACH]
Hii ni movie ambayo imetengezwa strategically ili watu wasifikiri au kuhoji au ku-discuss mapungufu yaliyopo kwenye budget and other evils.
Let us close this topic.
If we continue discussing this issue,it means we have agreed to dance their tune.
ndugay nafikiri anafanana na jina lake, haiwezekani uzuie kitu cha muhimu (bajeti mbadala toka upinzani) kujadiliwa halafu ujifanye unawaka kwa kitu cha kihuni walichokibuni maccm na wapumbavu wenzao. Upuuzi mtupu
Mimi nina wasiwasi kuna kajamaa kalienda hapo kananjaa zake kameulizia chakula kakaambiwa bado inabidi usibirie tuandae ndiyo kakaleta mambo ya nitakunyosha na kukonesha mimi ni nani… huwezi kunijibu mimi hivyo…
Hivi wabunge wetu hawajaona wala kusikia jinsi wizara hii ilivyoendesha operesheni ya kuwavizia wadau wake na kuwapora kati ya April na Juni kwa tozo za ajabu ajabu? Waendesha opersheni wenyewe walikuwa wanatamba kuwa wametumwa kukusanya fedha; siyo kuwawezesha wadau kwa shughuli zao za uzalishaji na huduma! There is a very serious problem here. Na pengine hoja hii imepokelewa na kiti kwa sababu imepelelkwa na Mbunge wa ccm!