Steve nyerere akisikilizia mchongo wa rambirambi

Baada ya kuzushwa kwamba mzee majuto kafariki,jamaa wa kula rambirambi,bingwa misiba bongo ambaye pia alikuwa mstari wa mbele kwenye mazishi ya mapacha walioungana kule iringa bwana steve mengele alionekana akimfariji mzee majuto ila wataalamu wa picha wanakuambia hapo anawaza jinsi ambavyo angepiga rambirambi kama ingekuwa kweli na mzee kama kamstukia hivi hana amani kabisa[ATTACH=full]180509[/ATTACH]

:meffi:

[ATTACH=full]180516[/ATTACH][ATTACH=full]180516[/ATTACH]

Huyo kenge atumie jina la ukoo wao anamnajisi Nyerere kwa udokozi wake wa rambirambi

Body language…design kama mzee majuto anamuangalia kwa jicho flani hivi kama hamuamini.

X2
:D:D

washamba pori wakija mjini wanajitutumua sana hadi wanajulikana hata kwa mambo ya ovyo

[FONT=courier new]Your STUPIDITY is APPROVED.[/FONT]

:eek::meffi::):oops:

Mbona pesa ya matibabu amekula jamaaa.
Apo alikuwa aamini kama mzee Majuto angerudi akiwa hai

HAhah